MSHINDI MWINGINE WA PROMOSHENI YA WAGIFTISHE APATIKANA KILIMANJARO, AKABIDHIWA PIKIPIKI.
Mwandishi Wetu. Ikiwa ni wiki kadhaa tangu kuzinduliwa kwa kampeni ya WAJIFTISHE GIFTI JUU YA GIFTI inayoendeshwa na Kampuni inayoongoza kwa utoaji wa huduma za Kidigitali hapa nchini Tigo Tanzania, Bwana Jeremia Shoo mkazi wa Kilimanjaro ameibuka mshindi wa pikipiki aina ya Boxer kupitia KAMPENI YA TIGO “WAGIFTISHE GIFT JUU YA GIFT” baada ya kununua
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed